Saturday, March 12, 2011

WAHARIRI WA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI






wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari katika picha kushoto ISSA MBURA a.k.aMPARE,anayefuata ni EDITHA MAJURA-mwananchi com,BETTY TESHA-Tbc,MJENGWA,DEO MUSHI-Daily news na wengineo jana siku ya tano na ya mwisho ya mafunzo ya mtandao wa internet kwa wahariri wa vyombo vya habari hapa nchini yaliyoandaliwa na MISA-TAN kwa ushirikiano na VIKES FINLAND.na mwalimu PEIK JOHANSON kutoka YLE.

No comments:

Post a Comment